Labda kusaidia tu.
Work permit ni kibali cha kufanya kazi - ajira. Wanapewa wanaoanzisha biashara - investors au mwenye biashara na wanaoajiriwa au kujitolea kufanya kazi.
Hii deal aliyoingia Zari sidhani kama ni ajira. Huwezi kumuita mfanyakazi wa keds. Yeye ni brand ambassador tu. Haitaji...
Anahii kesi hachomoki. Kunaushahidi mkumbwa sana, mtoto. DNA ikipimwa, kesi imeisha.
Na hawezi kusema huyo mtoto alikubali mwenyewe, yuko chini ya Miaka 18. So, ikambaka. Haina kubisha.
Kesi iko straight forward.
Kwanza, familia ya huyo mwanaume haiwezi kuadhibiwa kwa kosa la ndugu Yao. Sheria hairuhusu. Sidhani itakuwa sawa wewe ulazimishwa kulipa deni la ndugu yako bila kupenda. It's not practical. Kama mtu hana ndugu, mtadai majirani?
Pili, mtu kufungwa haimaanishi kuwa hatatakiwa kumlipa huyo binti...
Sheria haijakataza binti aliyebakwa kudai fidia ya hela. Huyu binti anaweza kudai fidia ya hela kutoka kwa huyu shetani aliyembaka. Hiyo ni juu ya kifungo cha miaka 30.
Sema watu wengi hawajui haki zao.
people like you are like a virus. Your ignorance can quickly spread like ebola, infect and kill commons sense. am guessing thats why sisiem has managed to rule for 50 years (despite other alarming reasons). the country is high populated with illiterate people, that can easily be swayed. but, i...
Uhamuzi wa huyo dada ni sahihi. Hawezi akakaa kwa wazazi wa mwanaume asienampango nae.
Kwenye swala la hela ya matumizi ya mtoto, mahakama inaangalia among other things, kipato cha baba. So, since haya mambo hayajafika huko. Its best aulizwe anataka how much. Then negotiate. Hakuna haja ya...
Postmortem inasemaje? Hicho ndo cha muhimu. Its doesnt matter alikufa baada ya kutoka kwenye mateso. What matters ni chanzo cha kifo. Je, kifo chake kilisababisha na mateso aliyopata kwa miaka minne?
People waste there lives building other people's dreams. Bakhresa Bill gates and steve jobs built fortunes without a degree.. Na wapo wengine wengi tu. I know alot of young people out there hapa Tanzania ambao wameamua kujiajiri and not long watakuwa one of the rich.
Sasa kwa wewe mwenye...
I think the issue here ni uwizi wa escrow account sio what masele said. Mimi huyo jasusi nimempenda bure.
Mbona hakukanusha wala kukubali kuhusu huo uwizi?
Watanzania siku zote hatutaki kuambiwa ukweli..
Never settle for less. If she can do better huko us then aende. Huyo mme atamfwata. Ni swala tu la kuelewana. Its a good career kick, she would be a fool to let it pass. Good things happen to people who are brave enough to take the risk. #teammaendeleo #
Kwanza pole sana...
Yameshatokea, huwezi kubadilisha kitu. Kumbuka huyo ni mama watoto/ mtoto wako, hataufanyaje huwezi kumfuta kabisa kwenye maisha yako.
Sasa hivi unaumia, hupaswi kufanya maamuzi mazito. Na sio lazima kuamua sasa kubaki kwenye ndoa au kutoka. Subiri kwanza hasira zipungue...
Nenda utumishi kaifwate hiyo barua, kisha utaripoti ulipopangiwa. Barua itaeleza. Its best kuripoti kazini before tarehe 15, maana utalipwa mshahara wa mwezi wa tano. Baada ya hiyo tarehe hulipwi. So the sooner the better.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.