Nimejiunga hivi karibuni. Pamoja na elimu ninayoipata kutokana na mijadala mbali mbali pia nafurahia uwezo mkubwa wa wana jf katika kuandaa na kuchambua mada. Natamani ningekuwa na uwezo huo.
Ni matumAini yangu kuwa tutakuwa na wakati mzuri pamoja, asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.