porojo ya mwandishi siasa zimewashinda wanatafuta sababu ya kutokea, taarifa imekosa vielelezo imejaa shutuma tu. TISS haikubariki JF nategemea michango mingu itaikandamiza bila kufikiri lengo na dhamira ya mwandishi.
makala ya msomaji raia,
ni maarufu kwa kukosoa bila kikomo. Huyu mwandishi...
mapungufu kwenye vyombo vya usalama ni kielelezo kwamba ndio maana vipo kwa ajili ya kufanikiwa na kushindwa kupata habari za ujasusi.... USA na CIA yao wameshindwa mara nyingi tu
Kitendo cha kuhukumu kabla ya ushahidi ndicho sikipendi kuliko vitendo vyote.
Duniani kote vurugu nyingi huanza kwa matendo ambayo bado hayajadhibitishwa na binadamu kutoa hukumu palipo na ushahidi wa mashaka.
madaktari kupitia chama chao hawajawahi kutoa japo tamko moja tu kujutia vifo vya watanzania wenzetu waliopoteza maisha katika mgomo wa kwanza. Ni ishara kwamba vifo kwao ni jambo la kawaida. Hata kama ulikuwa ni mgomo lakini wangetoa tamko kwamba waliumizwa na hali iliyojitokeza ya wananchi...
Pasco
leo umeleta thread ya maana hebu tujaribu kuzungumzia japo mazuri machache ya Jk. Hakuna binadamu asiye na zuri hata moja
Mimi nitamkumbuka kwa kutununulia Panton la magogoni - Kigamboni. kabla ya hapo ilikuwa ni mateso.
Panton kubwa Afrika Mashariki na kati hadi Mwai kibaki alikuwa...
sina imani na picha hii maneno yaliyoambatana na picha hayaonyeshi kama kilikuwa kikao cha siri. Picha hii inawezekana ni ya zamani imetumiwa kisiasa. Waliopigwa picha wanaonekana walijiandaa kwa kupigwa picha ni siri gani hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.