Wana familia msistuke hii ni kwa wale ambao walienda kupima.Mpaka kufikia hatua ya kwenda kupima maana yake kuna mgogoro mkubwa na kutoelewana kwa hali juu.Hivyo ieleweke kuwa 49% waliokuwa hawana uhakika kuwa ni watoto wao na wakaenda kupima kweli ilionekana watoto sio wao.Je hiyo 51% ambao...
Nilimsikiliza kwa makini nikajiuliza nikakosa jibu!!! Baada ya kuwadhalilisha wazawa kwa jeuri na kiburi sasa amebadilika(Tumpongeze/Tusubiri).
Nahisi maneno ya Magufuli wakati akiongea na wafanyabiashara yalimuingia vizuri na kaamua kwenda na kasi ya Rais.Maana Magufuli alitoa mfano kuwa sisi...
Simulizi hizi zitaisha lini!!!!???????
Kila mchezaji bora alitaka kumnunua!!!
Arsene Wenger has admitted he regrets not luring Raheem Sterling to Arsenal when the Manchester City winger was a teenager.
The England international began his career at Queens Park Rangers and rose through the...
Mukulu Pasco nakukubali sana hasa mabandiko yako yote yanaonesha jinsi ulivyobobea katika uchambuzi.Mimi nitaungana na wewe kama Magufuli atabadilisha sheria ya kesi kupitia kwa DPP.Takukuru wachunguze,wakamate,wapeleke watu mahakamani bila kibari cha DPP hakika nitamkubari sana.Kumbuka Hosea...
Nakumbuka Mnyika alitoa hoja hiyo na Bi Kiroboto alitoa nje!! Magamba wasingeweza kufanya hivyo na hawataweza kuunga mkono hoja hiyo.Vipengele hivyo kama havitabadirishwa hamna haja ya kupiga kura!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.