Search results

  1. M

    Kwa wakazi wa Mbeya: RIP mzee Sombrero

    Poleni wafiwa. Mungunt akupeni subira. Sombrero was a real gentleman. i had an opportunity to meet him many a times when i used to go to Mbeya. RIP Mzee Sombrero
  2. M

    Meneja atupwa jela miaka 250 - Mfano wa Kuigwa

    Hawa walaji wadogo ni MABANGUSILO, wakati walaji wenyewe wanaachiwa kupeta tu kama kawaida! Jee tutafika?
  3. M

    Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

    Kwa ufahamu wangu sirikali ya Tanzania haina dini, kwa hivyo suala la kusaini MOU with any religion is incorrect. Kama ikiwezekana waweke kinaga ubaga kwamba dini zote zitapata misaada based on the MOU signed with Muslims or Chrisitians - this is my thought
  4. M

    Yemeni Plane Crashes Off Comoros

    I believe ni mazoezi ya kufa ambayo wote tutayafanya japo mara moja katika maisha yetu...... Please be prepared for it
  5. M

    Yemeni Plane Crashes Off Comoros

    A Yemeni airliner with 153 people on board has crashed in the Indian Ocean near the Comoros archipelago. Some bodies have been recovered, a Yemeni aviation official said, and wreckage of the plane located. It is not clear whether there were survivors. The Airbus 310 flight IY626, operated...
  6. M

    Effects of Imported Cement in Tanzania

    We need to have good Government employees (for whom we pay salaries out of our taxes) to at least think and feel for the country and fellow citizens. Inasikitisha sana kwamba hawa wenzetu wakipata wanajisahau kabisa kwamba kuna binadamu wenzao ambao wanaumia kutokana na decision zao za kishenzi...
  7. M

    Scheduled system maintenance

    Thanks for the update,
  8. M

    Misamaha ya kodi: Chanzo cha kumong'onyoa uzalendo wetu

    This will be the best thing if achieved, as it will be in line with Cannons of taxation 'fairness' - everyone should pay tax. Nchi za wenzetu hata marais wanatakiwa wafile tax returns and declare income and pay resultant tax na hapo tutpata kuwakamata viongozo amabo awana evade tax kama...
  9. M

    Kati ya Mkapa na Kikwete nani zaidi?

    nakumbuka MV Victoria, as soon as BWM took over, he started with a bang!!!!!!!!!!!!!!!
  10. M

    Bajeti ya 2009/2010 Tanzania

    Ahsante Mwanafalsafa, hivi ndivyo wabunge wanavyofanya kazi, inapokaribia wakati wa kula huwa wanaamka na siku zote hawasemi. What good Diallo has done to the nation while he was a minister!!!!
  11. M

    Mwanafunzi mjamzito amtaja Paroko

    Hawa maporoko kwa nini wasiruhusiwe wawe na wake so as to avoid kutia mimba watoto wetu. Akamatwe halafu ajzwe chupa huyo ....... ndiyo atajua raha ya kuwaharibu watoto wetu!
  12. M

    April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

    Mungu anusuru ndugu zetu, awaper subira wote walioathirika
  13. M

    April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

    Jamani tunaomba updates, if any
  14. M

    April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

    jamani aliyekuwa na update atuhabarishe - Jee suala la ku evacuate maghorofani lipo au kwa sasa hivi hali imekuwa shwari!
  15. M

    April '09 Bomb Blasts in Dar (Mbagala) and responses

    Tunawaombea Ndugu zetu waTz Mungu awajaalie wapate usalama, na waliofariki mungu awarehemu
  16. M

    KUMEKUCHA, Mramba amtaja Mkapa!

    Tutahakikisha kwamba wahusika wakuu wote wanalala selo na wanatumia ndoo ku........... Tutafika tu
  17. M

    KUMEKUCHA, Mramba amtaja Mkapa!

    Tutahakikisha kwamba wahusika wakuu wote wanalala selo na wanatumia ndoo ku........... Tutafika tu
  18. M

    Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

    Mimi Kinachonishangaza kuwa information kutoka serikalini kuhusu DOWANS and RICHMONDULI haijatolewa mpaka hii leo - nina wasiwasi kwamba hayo makaratasi ya BRELA yasije yakawa yanapikwa ili kumtaja mtu fulani halafu huyo mtu awe ndio BANGOSILO ili wengine waendelee kula. It takes a hell of time...
  19. M

    Tax to MP's and Cabinet Members!

    As far as i know the MPs are exempted from taxation on gratuity - this is based on Income Tax Act, 2004 (ITA 04). According to old ITA 1973, all resident employees were exempted to half of gratuity payable - this included MPs also as they are expected to be resident! It is surprising to...
  20. M

    Tanzania National Identities

    Mzee wa sharbati anasema 'ukitaka kula lazima uliwe'
Back
Top Bottom