The irony of low-cost National Housing Corporation houses being sold at prices well beyond the means of most Tanzanians played itself before President Jakaya Kikwete as he unveiled the construction of 290 units in the city yesterday.
The parastatal's houses to be built at Kibada to the south of...
Hivi Mwalimu angekuwa na mtizamo huu, 'mswahili' gani angemudu nyumba ya NHC. Hii miradi ya nyumba za NHC imelenga kuwafaidisha akina nani? Maana haiingii akilini kuwa mwananchi wa kawaida anaweza kumudu kununua apartment ya shs mil 320.
http://www.nhctz.com/mindu/RELEASE_Swa.pdf
Miradi zaidi...
Wakuu,
Katika pitia pitia zangu kwenye vyombo mbalimbali vya habari pamoja na hapa JF tokea kampeni zimeanza kumekuwa na habari nyingi sana za wagombea wa kambi ya upinzani kujitoa kwenye ugombea kwa sababu mbalimbali lakini mojawapo ikiwa ukosefu wa rasilimali za kutosha kufanyia kampeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.