Search results

  1. scramble

    Mbunge Lusinde ailipua CHADEMA Bungeni

    Mbunge wa Mtera mh. Livingstone Lusinde ameiripua chadm Leo bungeni alipokua akichangia mswada wa Kura ya maoni. Amemshangaa mnyika jutoiamini tume ya taifa ya uchaguzi (NEC). Lusinde amesema kuwa mnyika na wenzake wa chdm wana tabia ya kuogopa siyo uchaguzi wa ngazi ya kitaifa pekee bali...
  2. scramble

    Mbunge Lusinde airipua Chadema Bungeni

    Mbunge wa Mtera mh. Livingstone Lusinde ameiripua chadm Leo bungeni alipokua akichangia mswada wa Kura ya maoni ya rasimu ya katiba. Amemshangaa mnyika kutoiamini tume ya taifa ya uchaguzi (NEC). Lusinde amesema kuwa mnyika na wenzake wa chdm wana tabia ya kuogopa siyo uchaguzi wa ngazi ya...
  3. scramble

    Kwa hili naipongeza Serikali yetu!

    Muh. Charles Tizeba, Naibu Waziri wa Uchukuzi. Kwa muda wa miezi miwili sasa kuna mengi yameandikwa kuhusu kudorora kwa mahusiano kinchi kati ya Tanzania na Rwanda. Lisemwalo lipo lakini jambo hili limechochewa na kukuzwa na vyombo vya habari. Wengi tulikua tunahisi kuwa hatua...
  4. scramble

    Sheikh Ponda asomewa mashtaka akiwa amelazwa Muhimbili!

    Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Ponda Issa Ponda amesomewa mashtaka huku akiwa amelazwa katika Hospitali ya ya Taifa ya Muhimbili. Jana na leo asubuhi maofisa wa polisi kutoka Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, walimfuata Ponda hospitalini wakitaka kumhoji lakini...
  5. scramble

    BAKWATA na taasasi za kutetea haki za binadamu walaani Sheikh Ponda kupigwa risasi

    Sheikh Alhadi Musa, Sheikh Mkuu wa Mkoa wa DSM (BAKWATA). Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) pamoja na asasi kadhaa za kutetea haki za binadamu, wamelaani kitendo kinacho sadikiwa kufanywa na jeshi la polisi cha kumpiga Sheikh Issa Ponda Risasi la begani. Asasi hizo ni pamoja na TGNP...
  6. scramble

    Kwa Jedwali hizi, kweli Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha ni Ngome ya CHADEMA

    Wana JF nimeona nishirikiane nanyi katika kuhimiza matumizi ya takwimu kuliko kutumia maneno na ushabiki ambavyo katika siasa havina tija. Kwa maana ya harakaharaka, neno NGOME linamaanisha nyumba, ufalme, himaya ya mtu au maeneo yake ya kujidai. Linamaanisha nguzo pia. Kumekua na maneno...
  7. scramble

    Vyama vya CCM, CHADEMA na CUF vina lakujifunza kutoka Zimbabwe!

    Uchaguzi wa Zimbabwe umekamilika. Rais Mugabe ameendelea kuiongoza Zimbabwe baada ya ushindi wa zaidi ya 60%. Chama chake cha ZANU-PF kimepata viti zaidi ya 140 kati ya 210. Hii inaonesha kuwa ZANU-PF kitakua na two third majority bungeni. Ni ushindi mkubwa sana kwa Mugabe na ni anguko kubwa kwa...
  8. scramble

    UTALII: CCTV inapo rusha LIVE vivutiyo vilivyopo Tanzania

    sasa hivi CCTV ya China inarusha moja kwa moja mahojiano yanayohusu mbuga ya wanyama ya Serengeti. Uhamaji wa nyumbu ndiyo mada inayozungumzwa. Je promo hii ni kutokana na ziara ya Rais wa China hapa nchini hivi karibuni? TBC nayo inarusha live kutoka CCTV
  9. scramble

    Kwanini Dkt. Slaa anaichukia amani?

    kwanza napenda kuwapongeza UDASA kwa kuandaa kongamano leo katika ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam! Lengo kuu lilikua kujadili amani hapa nchini. Pili nawapongeza wote waliohudhuria ktk kongamano hilo. Miongoni mwa walio hudhuria ni katibu mkuu wa chadema Dkt. Slaa na Waziri wa...
  10. scramble

    PICHA: Kwa mbinu hii ya Bukoba, JK anatisha

    Ndugu wana JF, wiki mbili zilizopita, zimetawaliwa na ziara za viongozi wa ccm na chadema mikoani. kwa tathmini niliyoifanya, ziara ya Mh. Pinda imekua na mafanikio makubwa mkoani Ruvuma. Mh. Mbowe alikua Shinyanga, Ruvuma na jana Tabora. Mkuu wa nchi Mh. Kikwete yuko mkoani Kagera. JK...
  11. scramble

    Ushauri wa bure kwa CHADEMA

    Natanguliza kusema kwamba mimi sina chama rasmi cha siasa. Nimekua nikipiga kura kwa kumuangalia mtu siyo chama chake. Toka mwaka 1995 ulipofanyika uchaguzi wa vyama vingi, kuna mengi ambayo yamejiri katika medani ya kisiasa. Mwaka 95, NCCR Mageuzi kilitoa upinzani mkubwa dhidi ya CCM. CUF...
  12. scramble

    kwa hali hii Kikwete ataendelea kuwa Rais baada ya 2015

    Utangulizi tumo katika kipindi cha kupitia rasimu ya katiba ya muungano. ni bahati mbaya kuona katiba ya muungano inatangulia ile ya tanganyika au tanzania bara! hali hii itasababisha katiba ya muungano kuiburuza ile ya tanganyika. kwa upande wangu kosa limefanyika. tulikua tuanze na katiba ya...
  13. scramble

    Je ni sahihi katiba ya muungano kuundwa kabla ya ile ya tanganyika?

    kwanza nianze kwa kusema kuwa mimi siyo mwanasheria. haya ni mawazo yangu ya kawaida. nitashukuru wanaoifahamu sheria wakiniweka wazi kwa faida ya watanzania wenzangu. kwanza nampongeza jaji warioba na timu yake kwa kazi nzuri waliyofanya! rasimu ipo mbele yetu. tuisome watanzania ili...
  14. scramble

    James mbatia asichanganye elimu na siasa

    kwanza nimpongeze mbatia kwa kazi nzuri anayo ifanya kuhusu suala la elimu hapa nchini. amekua msitari wa mbele kuonesha madudu yaliyomo ktk sekta ya elimu hapa nchini. ikumbukwe kuwa wadau kama hakielimu na wengineo, pamoja na wabunge wengine wamekua wakilalamikia baadhi ya mapungufu yaliyomo...
  15. scramble

    KUFUNGIWA REDIO IMAAN NA NYINGINEZO: haki haijatendwa!

    Tumo katika nchi inayofuata sheria. nchi yoyote ile lazima iongozwe kwa kufuata sheria. TCRA ni chombo kinacho simamia vyombo vya habari vya kielektroniki hasa redio na televisheni. kina mamlaka ya kuonya au hata kufungia chombo cha habari kinacho kiuka maadili ya utangazaji. redio imaan ya...
  16. scramble

    Naomba kutoa hoja kuhusu suala la Mbatia

    UTANGULIZI nianze kwa kusifu jitihada zenye msukumo wa utaifa na uzalendo alizo zifanya mh mbatia kwa kutafiti kuhusiana na suala adhimu la ELIMU HAPA NCHINI! ni ukweli uliyo dhahiri kuwa mbatia anastahiki pongezi. alizungumzia mambo matano ya msingi. sera ya taifa ya elimu (national...
  17. scramble

    Katika hili, siwaungi mkono wabunge wa upinzani

    Mbunge ni mtu mwenye heshima kubwa katika jamii. Kuna sifa nyingi anazofaa kuwa nazo mbunge. Miongoni mwa sifa sifa hizo ni umri wa miaka 21 nakuendelea, elimu, uzalendo, busara na mwana maendeleo. Mbunge anafaa kutumia akili yake sana pindi awapo bungeni. Anatakiwa kutanguliza maslahi ya taifa...
  18. scramble

    Hili la kuchinja lisitugawe, Linazungumzika

    Mwanzoni mwa wiki hii waziri wassira alikutana na viongozi wa dini za Kikiristu na Kiislamu mkoani mwanza. Lengo la kukutana kwao lilikua kujadili suala la kuchinja wanyama wanaouzwa katika bucha mkoani mwanza. Kumekuwepo na tofauti kati ya Wakristu na Waislamu kuhusu suala la kuchinja. Kuna...
  19. scramble

    Kataa au kubali lakini ukweli ndiyo huu!

    huwa sipendi kuzungumzia udini lakini lisilobudi hutendwa. nchi yetu imekua na mfumo wa vyama vingi toka 1992. ni miaka 20 sasa tukiwa katika mfumo wa vyama vingi. kinacho nisonnesha ni ukweli kwamba baadhi ya vyama vinaelemea kwenye ukanda, ukabila na udini. hali hii haitotufikisha popote. hali...
Back
Top Bottom