Habari zenu jamvini!!
Shamba linalokadiriwa kuwa na heka 20 lipo maeneo ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Shamba limepandwa nanasi na mipapai, lakini pia lina michungwa. Kumejengwa nyumba nzuri ya bati ya vyumba viwili, banda kubwa la kufugia kuku wa kienyeji, banda dogo la mbwa...
Used trekta toka Denmark linauzwa.
Lipo kwenye hali nzuri hali nzuri halijafanya kazi hapa kwetu Tanzania.
Kwa anayelihitaji aniwhatsapp kwa 0787519910 nimtumie picha....
Shukurani wadau!!
Habari zenu jamvini!!
Ninaomba mwenye uzoefu na shughuli za trekta kama kukodisha, kubebea mizigo ama kukodisha kwa kilimo tuwasiliane tafadhali.
Nimenunua trekta aina ya Ford 7500 2wd lipo kwa hali nzuri. Ni used toka Denmark...
Lakini pia kama kuna mtu angependa kununua trekta naweza...
Wadau msaada kwenye tuta!!
Nikiwa mfanyakazi wa kampuni binafsi nilikuwa nachangia na kuchangiwa ktk mifuko ya kijamii. Na nikiwa mfanyakazi nilikopa kwa mwajiri wangu. Katika namna nisiyoifikiri mwajiri kasitisha ajira yangu.
Natamani kuchukua michango yangu inifae kipindi hiki kigumu, wakati...
Kulikuwa na vijimisemo enzi zile nikivikumbuka, huwa vinanipa burudani. Vijimisemo kama ''Utabana ngenge - wakimaanisha utakoma! ,du kinaa - yaani hakuna shida, dole tupu - yaani powa tu!! Unakumbuka vimisemo vipi, hebu tupia hapa tukumbushane!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.