Hii habari imekaa kizandiki.. eti meli ilizima tena ikabidi watu wafaulishwe kwenye maboti. Kweli habari kama hii source pekee iwe jamaa wako wa karibu??!! SMDH!
Aliyekuwa Raisi wa Zimbabwe amejiuzulu, spika wa Bunga la Zimbabwe Jacob Mudenda amesema.
Burua kutoka kwa Mugabe inasema uamuzi huu ni wa hiari. Wabunge walishangilia baada ya kusomewa barua hiyo.
Source: BBC Africa
Ahasnte mkuu Salary Slip
Mimi kwa mtazamo wangu Tanzania bado ni 'vigin territory' kwenye maswala ya usafiri wa anga, inahitaji tu kasi ya ubohoreshaji miundombinu ya viwanja na mengine yatafuata. Nitajaribu kuanisha sababu zangu kama ifwatavyo:
Utamaduni wa mtanzania
Huu utamaduni, ilikuwa...
Hatimae Acacia wameamua kuufunga mgodi wa Bulyanhulu, taarifa zinadai kuwa wafanyakazi zaidi ya elfu mbili (2000) watakuwa hawana kazi kuanzia kesho. Nae mwenyekiti mtendaji wa Acacia - Brad Gordon amadai kuwa, itawagharimu dola za kimarekani millioni 30 kuufunga mgodi huo kwa kulipia fidia za...
Ndiyo tatizo letu waTanzania - kutojiamini na kutoamini, ndiyo maana tunakubali chochote tu na ndiyo hata kuibiwa ni rahisi pia. Huwa nashangaa baadhi yetu wabongo, wakisikia au kuona namba kubwa za matrillioni ya shilingi hawaamini kwamba nchi yao inaweza kuwa na kipato kama hicho.
Wengi...
Ndiyo tatizo letu waTanzania - kutojiamini na kutoamini, ndiyo maana tunakubali chochote tu na ndiyo hata kuibiwa ni rahisi pia. Huwa nashangaa baadhi yetu wabongo, wakisikia au kuona namba kubwa za matrillioni ya shilingi hawaamini kwamba nchi yao inaweza kuwa na kipato kama hicho.
Wengi...
Inawezekana pia hivi ndivyo anavyo shauriwa mkuu wa kaya. I hope kuna mmoja atakae muekleza ukweli wa kinachoendela huko mtaani. Swala la vyeti la Basite bado liko palepale na alichokifanya Clouds pia hakisafishiki.
Mkuu sababu ni kwamba hajamaliza mradi hivyo wamnyan'ganye passport ili asiingie mitini. Sasa hapo sijui sheria sijui zinasemaje juu ya uhalali wa agizo hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.