Juma hili benki ya dunia imezuia ufadhilii wa mabilioni ya shilingi kwenye sekta ya utalii na uhifadhi kwa Tanzania kutokana na madai ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na serikali ya Samia.
Habari hizi imetangazwa kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, ila kwa vyombo vya ndani...
Majaji wa mahakama zetu wengi ni Makada wa CCM, chama kinachotekeleza sera ya ufisadi kwa vitendo. Nitajie mtu safi nadani ya CCM nami nitakutajia malaya mwenye bikira😀
Uko sahihi siku hizi maana ya uongozi ni kupata nafasi ya upigaji tu. Rais wa mchongo alithibitisha hilo alipotamka, bila aibu, eti kila kiongozi ale kwa urefu wa kamba yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.