Search results

  1. M

    Tutakusaidia kusajili jina la biashara, kampuni, NGOs, Shule kwa gharama nafuu na kwa muda mfupi

    Nahitj kusajili shule ya nursery na primary naomba nijuze utaratibu wako na gharama mkuu!kitambij@ymail.com.com
  2. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    Kuongea na Mkristu juu ya mfumo kristu Tanzania ni sawa na kuopngea na Mbuzi au ng'ombe unadhani atakusikia?Dawa kubwa ni action since action speaks more than words@all Christians in this Christian Forum!
  3. M

    Natafuta kazi ya secretary

    Tatizo una mawazo mgando sio kosa lako.Ipo siku utakuja andika hujawahiona mpishi wa kiume!Sio kosa lako hunda elimu kuhusu gender division of labour,in short hujahama from copying to Critically analysis of issues,kama huna la kuchangia ni bora ukae kimya.
  4. M

    Natafuta kazi ya secretary

    Nina certificate ya secretarial course,nina ujuzi wa ms word,excel,data base na typing.nina uzoefu wa kutosha,niko tayari kufanya kazi kokote tanzania.wadau nisaidieni
  5. M

    Emproyment for diploma teachers needed at sacred Heart secondary school

    Unayetangaza ajira huna elimu,nenda shule kwanza dogo.Umefundishwa namna ya kufungua website na ndio uafanyia mazoezi humu jamii forum,kuwa na adabu ya maisha.Na hiyo shule ni ya babu yako?Yaani umeniboa kinyama yaan.
Back
Top Bottom