WATOTO WA KISHUA
SECONDARY SCHOOL
S.L.P 7677, MASAKI.
MTIHANI WA KUMALIZA
MUHULA.
MAELEKEZO.
i. Jibu maswali yote.
ii. Kila swali linabeba maksi kumi
iii. Zingatia mpangilio wa kazi.
iv. Unaruhusiwa kutumia BLOGS
na MAGAZETI YA UDAKU
iv. SWALI LA TISA NI LAZIMA
KUJIBU.
MUDA; Masaa...
Jamaa mmoja Mkazi wa Tabata
alikuwa anapanda kitandani
alale ,mara mkewe akamwambia
kua ameacha taa inawaka Bafuni,
jamaa akaamka akawa anaenda
kuzima Taa ....alipo fika Bafuni
akacheki cheki nje kulikua na
mbwa anabweka .
Kuangalia Vizuri kuna MAJAMBAZI
wameruka ukuta wa Home
kwakwe...
Jamaa mmoja Mkazi wa Tabata
alikuwa anapanda kitandani
alale ,mara mkewe akamwambia
kua ameacha taa inawaka Bafuni,
jamaa akaamka akawa anaenda
kuzima Taa ....alipo fika Bafuni
akacheki cheki nje kulikua na
mbwa anabweka .
Kuangalia Vizuri kuna MAJAMBAZI
wameruka ukuta wa Home
kwakwe...
mfumo wa digital Wameboresha
kuweka lugha ya kihehe kwenye
sim na mambo yatakuwa kama
ifuatavyo:-
Phonebook
SHITABU SHA ISIMU
Names
MATAWA.
Exit
HEGE IPA.
Cancel
DUMULE.
Setting
KUPANGILILILA.
Call
KUTOVA.
Missed call VAKUTEMULIGE.
Receved call
VAKUTOVIE.
Dialed call...
Kuna jamaa mwenzenu nimekaa nae mtu mzima anajiongeleshaaa
af mtu mzima
anasema sema siri zake na mke wake
anajisifu sifu anafikiri mi namuona mjanja
kumbe ananiboa niko busy nachart
hebu nisaidieni
nimjibu jibu gani ambalo hata endelea kujisemesha semesha na asijisikie vibaya.
iv ndugu zangu
polisi wanalipwaga tsh ngapi?
Maana leo nimepita Bank ya Nmb nimekuta polisi ameganda kasimama kama yale masanamu wanayovalishaga nguo
haangalii kushoto wala kulia.
MARKETING TO MBA STUDENTS.
1. U see a gorgeous grl in party, u
go to her & say i am rich, marry
me.-"That is DIRECT MARKETING"
2. U attend party & ur frnd goes
to a girl & point at u tells her. He is
very rich, marry him.-"That's
ADVERTISING"
3. Girl walks to u & says u r rich,
can u...
MALIZIA MISEMO IFUATAYO
(1)Utamu wa kazi ni "PESA"
(2)Utamu wa usingizi ni "NDOTO"
(3)utamu wa FACEBOOK ni..........
(4)Utamu wa mapenzi ni..................
(5)toa na wewe ya kwako............
Zuzu mmoja alinunua
gazeti,alipofika nyumbani tu
akaenda kuliweka ndani ya friji.
Mama yake aliyekuwa amekaa
sebuleni akashangaa
akamuuliza,"Mbona umeweka
gazeti ndani ya friji?"
Zuzu akajibu,"Wameandika lina
habari motomoto acha zipoe kiasi
ndio nizisome!"
Dear Waziri wa Nishati, Nna uhakika kwamba wizara yako inajua kuhusu teknolojia ya uzalishaji wa gesi kwa kutumia takataka,kwani najua kuna viwanda vichache vinatumia teknolojia hii kujizalishia umeme unaoendeshwa na gesi itokanayo na takataka baada ya uzalishaji wa bidhaa zao. Jambo ambalo...
Omama,nakufa men,sijapenda
men bado naipenda dunia
men..izraeli usiniguse men
unanichafua men... oma gad...
Ndo maneno aliyetoa sharo kabla
ya kukata roho yake.
Kuna jamaa alikua hajui
kiingereza alikua anahitaji kuku
Jinsi ya kuzungumza kuwa nataka
kuku ni ngumu
Pembeni kulikua na mteja
mwingine anakula mayai
Akamuita mhudumu akasema see
that
I need your mother
Jamaa anapiga simu Makumbusho
ya Taifa"Haloo,hapo ni
Makumbusho ya Taifa?"OFISI:"N
dio 2kusaidie nini?"
JAMAA:"Ok,naomba mnikumbushe
mwaka juzi saa yangu niliipoteza
wapi?" OFISI:"Pumbavu!Hiyo co
kazi ye2...! JAMAA:"Sasa
makumbusho mnakumbusha
nini? OFISI:"Tunahifadhi mambo
ya zamani"...
Risala fupi ya marehem CCM:
inaletwa kwenu na mimi Abuneri Mgaya
Marehem CCM alizaliwa 05/02/1977.
Enzi za uhai wake marehem alijishughulisha na kuua mazao ya biashara km pamba,tumbaku,kahawa,korosho na katan.
Marehem pia atakumbukwa kwa kaz kubwa aliyoifanya kwa bidii ya kuua viwanda km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.