Habari ya mchana wapendwa, naomba msaada kwa wale wenye uzoefu na ufugaji wa kuku wa nyama,
mimi nafuga wa kienyeji ila nataka nifuge na wakisasa shida ni kwamba nashindwa kujua kwa mfano kuku 300 watakula mifuko mingapi kwa siku hadi wiki?
Habari yako naomba ni PM namna ya kutengeneza chakula cha kuku wa kienyeji kwani ninakuku wa kienyeji wapatao 30 ila najikuta nanunua tu chakula sasa nafikiria kutengeneza mwenyewe itanisaidia kupunguza garama naomba msaada wako.
Asante
Pole sana kaka huyo mwanamke amekuwa katili sio kwako tu hata kwa watoto ila mimi nakushauri wewe tulia kimya usimfuatilie kwa chochote kaa kimya angalia wanao fanya kama vile mama yao hayupo, chukua jukumu la ubaba na umama kunusuru watoto kwani hawana hatia, pia usichukue maamuzi ya kuanza...
sasa kama wewe ni baba mtarajiwa hupendi kwenda kanisani je utawafundisha nini watoto wako, badili mtazamo 2b wako yupo sawa kabisa hata kama ningekuwa mimi ningekubadilikia
pole kaka ila kwa upande wangu mimi naona huyo dada mwenyewe hana msimamo, usipoteze Muda kabisa kwani hata ukiwa nae baadae huyo mshikaji akimtokea atakumwaga tu tena. piga moyo konde songa mbele utapata wa ukweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.