Wanabodi
nina nyumba yangu moja naiuza. Kwa kuwa ramani yake ni ghorofa moja,mimi nimeijenga mpaka kwenye slub (nimemwaga zege la juu) hivyo bado kumalizia ghorofa ya juu. Kibanda cha mlinzi cha kisasa kipo tayari. Ina hati miliki
nyumba ipo madale njia panda ya nguzo, ni hatua 20 kutoka...
Hawa ni zaidi ya wapumbavu
walitangaza kazi za senior posts lakini nashangaa wameita watu kwenye interview nafasi ambazo hazikuwepo kwenye tangazo lao la kazi
watakuwa wanaliwa na wachawi hawa washenzi
------ yao
Hawa jamaa ni wapumbavu sana. Kazi walizozitangaza mwezi wa 12 sio walizoita kwenye interview. Walitangaza kazi za senior positions lakini hawajaita wameita kazi ambazo hazikuwepo hata kwenye tangazo lao. Wanaliwa hawa na wachawi tena wanaliwa kavukavu
Wakuu
nina toyota brevis cc 2500 rangi ni pearl ipo sokoni
namba ni t 214 cth, beni ml.12.5 tu
ipo dar es salaam, kwa aliye serious anitafute kwa namba 0784 160 421
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.