Nasikia unga wake una soko kubwa sana nchi za asia hasa uchina wanatengenezea dawa za kuongeza nguvu za kiume
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Huo msaada utatufikiaje wakulima wadogo na marazote nasikiaga misaada kwa wakulima wadogo lakini sijawahi kusikia hata jirani yangu amepata sasa misaada hii inaendaga kenya au uganda?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mimi nina mwaka wa 16 sijaugua malaria na magonjwa mengine huwa hayanisumbui labda mara chache mafua,kikohozi,kichwa nikiwa nimekaa muda mrefu bila kula na tumbo kuharisha kama nimekula kitu kibaya na huwa nikijisikia dalili za homa napiga viroba viwili nikiamka kesho yake nakuwa poa na hii...
Tiss mpo hapo? Au tunasubiri atekwe mtu then bukoba boy aweke youtube? Anziani hapo upelelezi tukisubiri yatakuwa makubwa.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mob watu wamefanya application ya hizo line tangu mwaka jana mwezi february na wamefuata taratibu zote hadi ilipofika miezi nane hawajapata wakaenda kudai milioni moja zao walizo deposit bank kama masharti ya kupata hiyo line na hawajapata hadi leo, hivyo ukiona mtu anauliza humu na anataka...
Hakunaga biashara ya hizi vitu ni miyeyusho na wizi tu amini nakuambia yaani hii kitu ina bei kuliko dhahabu na almas
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Acha kutumia au poteza password then usihangaike nayo au ingiza namba za siri zisizo sahihi mara tatu utakuwa nje hadi utakapotaka kurudi ukawaone wahusika
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kwakweli tupo mahala pabaya sana tanzania. Tatizo letu naamini sio vyama bali ni watendaji ndani ya vyama hadi serikalini na tuseme ukweli kutokuwajibika,ufisadi na kujipendelea ndio kunakoleta hali ya kutugawa watanzania na mwenye kuweza kuweka sawa mambo haya sio CDM bali ni chama tawala na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.