[yanayoua mashirika sio managers bali ni ukubwa wa shirika na udogo wa mapato, hebu angalia shirika lina wafanyakazi wangapi na wana ndege ngapi? manager anashindwa kuendesha hizi ajira za mjomba na shangazi ndizo zinazoua shirika hebu tafuta wapi umeona tangazo la kazi shirika la ndege hapa TZ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.