mtoa hoja si vibaya uende kwa mtumishi wa mungu ili uombewe upate kuacha kuyafikiria mambo ambayo ni ya binafsi zaidi na hasa haya ngono. USIIKARIBIE ZINAA...
Badilisha kichwa cha habari kwenye ujumbe wako pamoja na kuwa hapa jf ni dare to talk hili neno adabu limetumika ndivyo sivyo, nina imani jf wachangiaji wote wako safi isipokuwa wewe ndiyo huna adabu. hebu jiulize rais anakwenda Jamika kwenda kuonana na mwanamziki kama aliyemwacha nchini kwake...
Tujadili tiba ya swala hili kuliko kufikiria itakuwaje hiyo ni ajali kama zilivyo ajali zingine na palipo na wengi pana mengi achilia mbali kuwa uchi tu fikiria mali zinazopotea,uhai,kuchelesha maswala ya maendeleo,n.k Watanzania tuamke wakati huu ni mbaya kuliko tuliowahi kushuhudia huko nyuma...
Ndugu Rayase umenena lakini nitachangia sehemu ya transaction zinazofanyika dhidi ya wateja wa kampuni ya vodacom. Swali langu ni kuwa kwa kiasi fulani kampuni inafanya shughuli za taasisi za fedha tukiacha usajili wa tcra, je benki kuu wana taarifa na hili? kwa kuwa moja ya kazi yao ni pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.