hii issue sio ya kutunga Kwa nia ya kuwachafua Oman air,alinunua hapa Dar to Muscat then Muscat to London,na Kwa taarifa tulinazo kesho yake kuna watz wengine wawili pia wazuiwa kupanda hiyo Ndege kuelekwa nchi za ulaya siongei kitu cha kubahatisha ninao ushahidi kwani siku hiyo nilikuwepo...
Watu wengi mnachangia kiushabiki Mimi mwenyewe nilishuhudia kijana wa kitanzania walimrudishia Dar bila sababu za msingi wakati ana visa,barua ya mwaliko,amelipia hotel,Oman air ni washenzi Sana hiyo tabia ya kuwa warudisha abiria hapo mascut ni ya muda mrefu sema wa Tz wengi kifanyiwa vitendo...
Napenda kuwatahadhirisha watanzania wenzangu ambao mnategemea kusafiri either kibiashara, kimasomo au matembezi msisafari na Ndege za Oman air.
Kuna ndugu yangu alikuwa anaenda UK, kwenye mkutano na ni mfanyakazi wa serikali ana visa ,barua ya mwaliko na kibali cha kusafiri nje.
Cha ajabu...
Ubalozi mwingine unaosumbua Sana ni Belgium kuna mdada wa kitanzania yuko reception anaomba rushwa wazi wazi naomba watu wa foreign affairs mumchunguze huyu dada ushahidi upo
Ubalozi mwingine unaosumbua Sana ni Belgium,kuna mdada wa kitanzania yuko reception, anaomba rushwa wazi wazi, naomba watu wa foreign affairs mumchunguze huyu dada,ushahidi upo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.