Wana jamii, baada ya kuisoma Rasimu ya Pili ya Katiba na Katiba iliyopendekezwa na BMK na baada ya mmoja wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa changamoto ya kwa nini tupige kura ya Hapana kuikataa Katiba inayopendekezwa na BMK, nimeona niwashirikishe wanajamii wote msome jinsi ambavyo...
Mwenzenu nimesoma Katiba inayopendekezwa lakini ninapata kigugumizi kwa kuona BMK imeondoa mapendekezo mazuri yaliyokuwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba iliyowasilishwa na Tume.
MMoja wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amejaribu kuchambua mapungufu hayo ambayo nimeona ni vyema tukachangia...
Jamii Forum wale wazoefu wa miundo ya Serikali kuu na Serikali za mitaa naomba mnielimishe kidogo. Nini tofauti za Serikali hizo katika muundo na utekelezaji wa kazi zake??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.