Search results

  1. M

    Kusema Hapana sio kosa la jinai

    Wana jamii, baada ya kuisoma Rasimu ya Pili ya Katiba na Katiba iliyopendekezwa na BMK na baada ya mmoja wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kutoa changamoto ya kwa nini tupige kura ya Hapana kuikataa Katiba inayopendekezwa na BMK, nimeona niwashirikishe wanajamii wote msome jinsi ambavyo...
  2. M

    Katiba Inayopendekezwa kukosa maadili ya Viongozi ni sawa?

    Mwenzenu nimesoma Katiba inayopendekezwa lakini ninapata kigugumizi kwa kuona BMK imeondoa mapendekezo mazuri yaliyokuwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba iliyowasilishwa na Tume. MMoja wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amejaribu kuchambua mapungufu hayo ambayo nimeona ni vyema tukachangia...
  3. M

    Serikali kuu na Serikali za Mitaa, Tanzania - Nini tofauti zake katika utendaji??

    Jamii Forum wale wazoefu wa miundo ya Serikali kuu na Serikali za mitaa naomba mnielimishe kidogo. Nini tofauti za Serikali hizo katika muundo na utekelezaji wa kazi zake??
Back
Top Bottom