Bila shaka upo uhusiano mkubwa kati ya pesa na muda.. Ndio maana nauli ya ndege ni kubwa kuliko ya basi, Why?
Because ndege hutumia mda mchache (mf. Ukitoma Dar kwenda Moshi ni dk45 tu kwa ndege but kwa gari ni takribani masaa 7-8).
*Linapokuja suala la MUDA NA PESA, duniani kuna makundi...
Ni ukweli usiopingika kuwa karibu Watanzania million 35 wanamiliki simu. Hali hii imepelekea kampuni za mitandao ya simu kuuza muda wa hewani unaokadiriwa kufikia billion 49 kwa siku. Watu walio wengi wanatumia wastani wa sh. 500 kila siku kama muda wa maongezi.
Kuna fursa mpya kwa ajili yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.