Mm nilijua kaletwa nchimbi basi atafagia mitaka taka yooote.katibu hana kelele ni mtu wa mipango zaidi.niliota ndoto flan naikumbuka mpaka kesho.inakribia kutimia
Na ni kodi watu wengine tunalipa kwa lazima wanakata juu kwa juu tena kodi yenyewe kubwa sanaaa halafu kuna wajinga wanachezea namna hii???kwann asitumie helcopter???hayo magari ni very expensive kutengeneza...halafu unasema ametatua kero..kero ipi aliotatua???si ni watu tu wanajilipa posho na...
Ilitakiwa mkutano huu usitishwe hapo hapo na alieitwa Mungu kwanza angekanusha maneno hayo kwa ukali hapo hapo watu wakisikia na kumwambia Mungu mm ni mdudu tu siwezi kamwe kuwa kama wewe.na angetakiwa kujishusha na kujinyenyekeza kwa Mungu muda wote mbele ya watu na sirini.otherwise Mungu ni...
Mm nachoshangaa ivi kweli think tank ya CCM yote wakaona wachome pesa za kodi za watz maskini ili msafara wa mwenezi upite nchi nzima kufanya zile drama za kupanda punda???real???wananchi wanalia umeme hakuna nchi nzima halafu mna waletea drama kama zile???kweli hii nchi tumerogwa aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.