Acheni kurukaruka, hatuwakatai hao DP world, tunatakataa vifungu vilivyomo kwenye mkataba.Kwanini mnakuwa wabishi kwenye kuvitoa au kuvibadilisha hivyo vifungu?Mnaanza kutuletea propaganda za enzi hizo tena za kina Mahita na mapanga ya kuwasingizia CUF.
Mimi sijaelewa hao wanaopinga si wanaopinga vifungu vilivyomo na si uwekezaji.Serikali ifanyie kazi vifungu hivyo , mwekezaji apewe bandari.Mbona vitu simple tu kwa serikali.
Kuna wakati shirikisheni bongo zenu, msipayuke payuke.Hiyo ardhi walipewa kwa ajili ya kunenepesha ng'ombe kabla hawajaenda visiwani. Eneo la bandari itakapojengwa (kama ikijengwa) ipo mbali na eneo hilo la Zanzibar.Karibuni mjini, msije mkauziwa maeneo ya watu.
Umeshaona wapi Dar es salaam ina wajumbe wa serikali za mitaa wanaojielewa ukiaacha huko Masaki.Wengi wamepigwa mbele ya hao hao watu wa serikali za mitaa.
Nzuri sana hii, mkumbushane kwa kweli, wasiwe wanakuja huko wanawapiga fix mpaka mkamaliza fedha zenu za akiba , ukijua ukija Dar siku moja mwana atakuhifadhi.Wenzenu huku wanaishi maisha ambayo sio, wanaona aibu kuwaambia ndugu zenu wanaosoma ili wasikate tamaa ya shule.Msitiriane kama Ndugu...
Hapo hamna shehe hata mmoja, wote hao watoto wa mjini , ambao walipata nafasi kupita madrasa. Mjini watu hawana habari ukijichanganya watu wanakupiga pesa.
Tozo kwa huduma za benki ni uonevu mkubwa , maana benki wana makato yao na wewe unataka hicho hicho nilichokihifadhi ilihali unajua kabisa aliyehifadhi ni mfanyakazi ambaye umeshamkata kodi au mfanyabiashara ambaye unamkata kodi kwenye pato lake analopata kwenye biashara. Unakuja mbele ya...
Je, kwanza wao kama viongozi watakubali kuendeshwa kwenye gari za kawaida na je, pia watakubali posho za siku za wabunge zipungue hadi elfu 50?Wasione wao ndio wana nafasi ya kula mema ya nchi bila kuhojiwa.
Samahani kiongozi, je , una Ndugu ndani ya Tanzania?Kama unao wafikirie kwanza wao usifikirie tumbo lako.Maana una bwabwaja tu humu ndani kwa ajili ya tumbo lako.
Nape Nnauye, Mwigulu Nchemba na January Makamba hamna kitu mule.Ndio wapo kwenye Baraza la Mawaziri kama washauri wa Rais, nchi inakwenda mrama kwenye uchumi muda si mrefu.Wait and see.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.