NINAILETA KWENU WANAJAMVINI MUOINE NIMEIPATA SEHEMU NIKAIONA NIIRUSHE HAPA, TAZAMA NA HIYO ATTACHMENT:
Hiyo ni Profoma invoice ambayo mwenyekiti wa kampeni za kikwete (A. Kinana) ame-present kwa waandishi wa habari kama ushahidi kwamba ndege ya serikali ambayo Dr. slaa amemtishia mama...
aiseee haya matukio kumi yanaweza kuwa kweli ama yakawa ya kawaida ila kwa mtazamo wangu lile la kusaini kwa mbwembwe muswaada wa sheria ya uchaguzi lilikuwa funga kazi.LImeonyesha hatuna wasaidizi makini wa raisi wako tayari kumpa kitu asaini kwa maslahi yao binafsi kabisa na hilo ni moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.