Inasikitisha sana kuona kiongozi wa kitaifa kama wewe , unashindwa kujieleza na badala yake kwa makusudi yasiyo na tija yeyote unajaribu kuhadaa magwiji. Kama uanachama wa mwana ccm unakoma mara moja pale mtu anapo hamia chama kingine iweje ninyi ccm muendelee kuwahesabu kama wanachama wenu kwa...
leo nimemsikia akiongea clouds kwamba yeye in mwalimu wa siku nyingi , japo inaonesha kwa kweli lugha hii ya kiingereza bado hajaimudu. CV yake haioneshi kama amewahi kusomea ualimu zaidi ya secondary na hiyo open university . hawezi kuwa mwalimu mzuri . Hivyo anawakilisha kundi la wanafunzi...
Bwana chama umefika wakati ufungue macho yako ya ndani uone ukweli na kuusemea, mawazo yaliyo tolewa na Bw Mohamed ni yakini. Fursa za watanzania wote kusoma bila kujali dini , kabila na rangi imekuwepo mara baada ya uhuru wa nchi hii . Huo mfumu kandamizi ni upi?
kazi anatakiwa kuifanya anaye ijua na si vinginevyo , kwa mwendo huu wa ku unga unga yaelekea anatumia muda mwingi sana kuelewa hivyo kuchelewesha maamuzi ama kutochukua kabisa.
Uamsho kimesajiliwa kwa ajili ya mihadhara ya kiislam, siiyoni mantiki itakayo tumika kuisajili kama chama cha siasa kwa kutumia sheria zilizopo kwa sasa. Hawa nawaona ya kuwa ni wasumbufu tu, wanafanya mambo kwa kuiga ama wanatumiwa.
kuigawa nchi kwenye majimbo siyo kitu kilichokopiwa pahala, hii ilikuwapo tangu awali kama unaijua historia ya nchi hii palikuwa na majimbo nane, pia vyama vingi siyo vigeni kwenye nchi hii. Na kama u mwangalifu na mfuatiaji makini utagundua kwamba cdm inatoa sera na chama chako inazifuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.