CCM lazima watuambie ukweli hapa hii si bure they should also be interrogated watoe ukweli wao na Makamba anairuka Fax ya ofisini kwake ni dalili ya mchezo mchafu.
Nina reservations kibao juu ya kifo cha Wangwe kwani nina maswali ambayo siwezi kuyajibu kama ifuatavyo;
1.Kwa nini kifo hiki kimetokea kati kati ya matatizo ya kiuongozi baina yake na viongozi wenzake wa CHADEMA?
2.Kwa nini kimetokea katika wakati ambao kulikuwa na tetesi kuwa anakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.