kuna wafanyakazi walioitumikia GT na waliondoka bila kitu na wapo mpaka sasa mitaani vipi hawa pamoja naujuzi wao hawatapewa kipaumbele kwa sababu ifahamike tokea ife hamna kiwanda kingine cha kutengeneza tairi kimekuwepo useme walipata ajira huko hao nao mnawazungumziaje kwa sababu sasa ivi...
nimepiga simu mbili tatu kwa sababu ndo kanisa nalosali naona sio hapo ila naambiwa ni kanisa la assemblies lililopo karibu na petrol station ya njia panda ndo kuna vurugu imetokea nazidi fatilia nitakufahamisheni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.