Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametakiwa kuihimiza serikali kujumuisha katika mipango yake ya maendeleo suala la idadi ya watu inayoongezeka kwa kasi kubwa. Mkurugenzi mkazi wa Advanced Family Planning (AFP) Halima Sharrif amesema ili taifa liweze kufikia malengo yake ya...
Nimefuatilia kampeni za wagombea urais na kusikiliza AHADI zao na kubaini ukweli mmoja: kwamba, AHADI za Lowassa ni Realistic, Consistent, Measurable, Attainable & Achievable within the prescribed tenure of office (5 years). Anayefuata ni mgombea urais wa ACT.
My Observation!
If there is any institution which is looking for a qualified librarian in private organization/institution in DSM, please contact me via this JF platform. I'm available for the JOB. I have a first class diploma in Librarianship from SLADS - Bagamoyo, I command two langauges (english and...
Wadau wa JF, natafuta kazi ya part time as Communication Liaison officer au instructor ktk fani ya mawasiliano kwa umma au uandishi wa habari ktk chuo chochote jijini dar au mikoa iliyo karibu na dar. Masuala mengine ni baada ya mawasiliano kufanyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.