Mwalimu Wa Grade A III. anaye taka kuja Arusha aliyepata Ajira mpya au wale wazamani aliyepangiwa Mkoa wa Kilimanjaro. Au Arusha wilaya ya Meru au Arusha V awasiliane ili Aje Arusha mimi Niende Kilimanjaro Au wilaya Ya Meru. 0755883313
kumekuwa na wimbi la vijana wanaopenda kukimbilia kwenye fani fulani fulani kwa lengo la kujipatia maslahi kwa kuwa kazi hizo zina maslahi zaidi, hili ni jambo jema! Tatizo ni kwamba, sababu serikali inashindwa kudhibiti usawa na uwiano mzuri kimaslai /mishahara kwa fani mbalimbali. Mfano, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.