Kama nyumba ipo mbali na nguzo za Umeme, mtu anaambiwa alipie gharama kubwa ili kuongeza nguzo ipi aweze kupata Umeme, ila nguzo bado zinabaki Mali yenu, na mtu mwingine akija kuunganisha katika nguzo niliyolipia Mimi wala sirudishiwi hata nusu ya gharama, je hii ni Sawa,
kwa bahati mbaya nime delete kwenye menu icon ya kupiga picha kwenye cmu yangu ya huawei ascend y300. mwenye kujua jinsi ya kurudisha ili niweze kupiga picha, ni ile icon ya kupiga picha kwa nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.