1.Mpe fundo la maji, ikishindikana
2.Chukua mfuko wa karatasi mvalishe kichwani uvunike uso wote hadi shingoni umuache apumue humo kama dk 1-2 halafu mfunue basi kwiki itaaacha, hii ni hatari kidogo unatakiwa usimamie ili asije akashindwa kupumua ukiona kunatokea hali kama ya kushindwa kupumua...
The hero rats of Africa sniff out land mines — and TB infections
An APOPO rat trains in Morogoro, Tanzania. (Photo: APOPO)
MOROGORO, Tanzania — The grass is still damp with dew as the sun begins to glint over the Uluguru Mountains. It’s only 7 a.m. in Morogoro, Tanzania, but Oprah and Malala...
Habari yako ndungu yangu, Kwanza pole sana na kuumwa!
Ni PM mimi nitakusaidia kwa hili la pa kufikia na kama utaweza vumilia mazingira ninayoishi baada ya kukufahamisha hali halisi ya nyumbani baada ya mafuriko kutekeleza fenicha zote, hata la kuelekezwa hospitali unayotaka kwenda hilo nalo...
Hii nchi yetu kweli tunatawaliwa, hivi ni kwanini kodi ya gari inazidi zaidi ya asilimia 100 ya bei ya manunuzi na wananchi tunaona sawa tu.Ninakumbuka machungu nilinunua Noah nimelipishwa maradufu ya bei niliyonunulia kwa uchungu nimelifungia linaelekea mwaka wa pili sasa.Nimeshikwa na butwaa...
Kwanza kabisa wafahamishe wazazi wake. Kuna mdau hapa ameshajitolea kumchukua .Tafadhali sana mpeleke huko akapate msaada.Tafadhali Punguza lugha kali inakupa taswira ya ukatili kwa baadhi ya wadau.Huu ni ushauri nakupa tu.
Wewe endelea kupiga baraza hapa ninatoka na fedha nikiwa marekani kila nikisafiri na ni zaidi ya kiwango hicho na unawaambia nina fedha kiasi gani na hakuna cha kujaza form wala nini,na bongo pamoja na unyang'au wao hamna anayekujua una fedha wao wanakimbilia kuangalia mizigo. hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.