Katika interview nyingi nilizoenda kwenye michakato ya kutafuta ajira enzi hizo nimekutana na maswali haya 6 katika kila interview moja;-
**Can you tell me a little about yourself?
**Why do you want this job?
**Why should we hire you?
**What do you consider to be your weaknesses?
**What is your...
Boss, kama uliweza kuwatambua kwa vigezo ulivyoainisha hapo juu, hao mashushushu wanakuwa na tofauti gani na hao wanaojitangaza kwenye mikusanyiko ya watu aidhaa bar ama pahala popote. Kumbuka ya kuwa kitu kigumu katika kazi ya ujasusi is to keep your deep cover unblown whatsoever either kwa...
kweli kabisa kabisa kaka. ila siwezi kumtosa best yangu huyu lazima nitakaa naye kidogo na kujaribu kumpa mwanga wa haya mema yaliyoshauriwa humu...........
Jamani ndugu zangu wa JF,
Huyu jirani yangu ni kaka ana mkubwa tu na ana miaka 26 sasa na ni mhitimu wa diploma ya procurement mwaka juzi 2014 katika chuo cha Uhasibu Mbeya (TIA) na kwa sasa anakaa kwa dada yake mkubwa wa kwanza huku maeneo ya Soweto Mbeya.
Sasa shemeji yake (mume wa dada...
The highlighted texts tell how an outright liar you might be. Vetting should have been made easier if that was the case. Hayo macho ya mkuu yapo hivyo as ndio alikuwa ametoka JKT so bado ana mindset ya ukakamavu wa kijeshi ndani yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.