Hii tukii2mia wabongo, moboss wengi watajiuzuru maana wapo wanaoalikwa kwenye shughuli nyeti, wanaenda na nyumba ndogo!na hatakama anakosa atasingizia siasa eti wabaya wake wanamchafua! Hatoki atatafuta kila sababu alafu ndo anabebwa. Hii nchi we acha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.