Acha hizo mkuu wachaga wanatumia furusa iliko. Huyo mkinga atatoka wapi huko uchagani na kuapata nafasi ya kujenga bar. Wenyewe wanaona hakuna nafasi ndio maana wakatoka nje ya uchagani sasa wewe unaona kuna ubaguzi hapo? Tumia akili kidogo kufikiri mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usilolijua litakusumbua mno. Mind your bisness. Kwani wakifanya hivyo wewe unateseka? Kila mtu humu duniani amezaliwa kakuta mila na siyo kitu cha kupuuza. Wewe unateseka nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kanunue ddt ndio kiboko yao hutakaa uwaone tena maishani mwako. Cha kufanya ni hiyo dawa na vipimo vyake unaua hadi mayai kwishney hutawasikia tena hapo unapokaa. Kama wamezidi sana hiyo dawa paka kwenye hizo conner za vitanda na kabati kavu usidilute na maji paka hivyo hivyo habari yao...
Mkuu hoja ni at what time did he tweet. Kwa nini awe wa kwanza wakati familia ndio wahusika wakubwa na mzigo ni wao? Yeye ni rais wa wote haijalishi nani ktk nchi hii. Kwa hiyo anavyoanza kuonesha uhusika wake mkuu kwenye issue za watu private tutanaza kudai awe anadesema pia kwenye misaba...
Hata kama alikuwa very close sidhani kama taarufa ya kifo hicho alistahili kuitoa yeye kama yeye . Ameingilia utaratibu wa familia. Hakuwa under him.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mfuko wa nssf nadhani ni mali ya wachangiaji ambao ni wafanyakazi na wastaafu watarajiwa. Inashangaza hao walengwa walichangia wanaga sauti na mfuko huu. Swali la kujiuliza hii miradi iliyojengwa kila mahali kuna hata mlegwa akiulizwa atoe maoni yake au ridhaa yake . Wanapofanya hivyo hao...
Ila kiukwelii police wetu siku hizi wanapenda kiki balaa. Hii ni issue ya kuita press kweli? Walisahau kutuonesha ile zipu ya yule mama mwenye mzigo ...
Your thinking so smart but my friend hiyo issue hapo sio rahisi kama unavyofikiria mbona wasingechukua muda kuimaliza? Haiwezekani mkuu. Piga ua. Kuna mwingine kasema mbona mkono kashikilia asiachie kwanza anaumia bala halafu kitu ya zaidi ya kiko 50 inawezaje kukaa hapo shingoni isimame...
Hakuna mkuu shida iliyopo ni politics unajua moshi ina wapinzani wengi ndio maana maendeleo waendelee kuyasikia tu majiji huko kwingine . Wananyimwa tu fursa cz wanasupport wapinzani .
Mkuu umeanza vizuri lkn ukaharibu kabisa. Niliwakusikia fidia kwa wanachi walipembezono ya mji wa moshi kwa maana vijiji kama vitatu vingrmezwa na jiji kupanuka ili kukidhi vigezo vya eneo. Nadhani huo mpango upo unasubiri fedha. Kuhusu watu hicho kigezo kimefikiwa ndio maana mpango wa kuandaa...
Mkuu mie nilikuwa nafuatilia sana hii mambo nikagundua kumbe kulikuwa na attention kubwa sana na gharama za kuyazuia. Sasa kimsingi hayo mambo yasingekuwepo ndio maana nikasema yamefanikiwa upande mmoja otherwise serikali isengehangaika. Anyway kuhusu barabarani hakuna uzoefu sana hii mambo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.