Search results

  1. P

    Naomba ufafanuzi kuhusu huu wizi wa Escrow 320 Billion

    Mimi sijaelewa vizuri kuhusu wizi huu kwani tuliambiwa hela za Escrow zilikuwa 320 billion, Mkombozi zikatolewa 3.3billion na stanbic zikatolewa kwa viroba 70 billion. Je zilizobaki 246.7 bllion zilienda wapi?
  2. P

    Hivi Ni kweli alipokuja Mandela Tz alipata mapokezi makubwa kuliko Pope John Paul 2 au Obama?

    JK alipokuwa akihutubia kwenye mazishi ya Mandela alisema hakuna kiongozi yoyote aliyewahi kupokelewa na watu wengi kama Mandela alipokuja Tz, ukumbi mzima wakaanza kunong'ona kuashiria sii kweli. Wenye kumbukumbu nzuri tusaidie.
Back
Top Bottom