Mimi sijaelewa vizuri kuhusu wizi huu kwani tuliambiwa hela za Escrow zilikuwa 320 billion, Mkombozi zikatolewa 3.3billion na stanbic zikatolewa kwa viroba 70 billion. Je zilizobaki 246.7 bllion zilienda wapi?
JK alipokuwa akihutubia kwenye mazishi ya Mandela alisema hakuna kiongozi yoyote aliyewahi kupokelewa na watu wengi kama Mandela alipokuja Tz, ukumbi mzima wakaanza kunong'ona kuashiria sii kweli. Wenye kumbukumbu nzuri tusaidie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.