Kupelekana polici huko hakukusaidii kitu cha msingi ni kusepa kimya kimya kwani kabla ya kuhonga ulitakiwa kujiridhisha kwanza kama jamaaa yuko kwako for real. Bob ni bora ukaweka wazi mambo yako kwani hapa nahisi ulikuwa unamuhonga huyo demu ili akukubali while alikuwa tayari anamtu wake thats...
Duuu! Bob umenikumbusha tukio la long timez ....... kipindi hicho nilikuwa na mdada flani ambaye aliachana na mpenzi wake baada ya kumfumania na demu mwingine.....tukaanza urafiki wa kimapenzi one day to my supprise aliniaga anakwenda club na marafiki zake but huko akakutana na huyo x wake...
Duuu! Bob umenikumbusha tukio la long timez ....... kipindi hicho nilikuwa na mdada flani ambaye aliachana na mpenzi wake baada ya kumfumania na demu mwingine.....tukaanza urafiki wa kimapenzi one day to my supprise aliniaga anakwenda club na marafiki zake but huko akakutana na huyo x wake...
Pole sana best! lakini manaandiko yanasema jaribuni kuzishinda tamaa za kimwili. Unanafasi kubwa kuishinda tamaa kama utaamua kuwa mkweli wa nafsi yako. kumbuka una mchumba anayekupenda na wala sio anayekutamani. jaribu kupambanua kati ya kupenda na kutamani theni uniambie kipi chenye uzito na...
obviously kwenye msafara wa mamba hata kenge pia wanakuwepo. kifupi ni kwamba kuna makundi mawili ya watu hapa, moja ni la walioko serious ( ambao ni wachache) na wale walioko kingono zaidi ( hawa ni wengi sana) cha msingi hapa ni akili kichwani mwako meet nao then utagundua yupi ni Mr Right...
The quality of love and the duration of a relationship are in direct proportion to the depth of the commitment by both people to making the relationship successful. Commit yourself wholeheartedly and unconditionally to the most important people in your life.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.