Aiseee huyu jamaa analeta upinzani kwenye vita ya madawa ya kulevya anazidiwa busara na Mchungaji gwajima ameitikia kwa moyo tena akaenda na kwaya Yake manji na waanasheria Wema na best Yake yeye anatema cheche kwenye mic.......anataka tu kuiingiza serikali hasara watamfuata kama mwewe hizi zama...
Lugha ya kiswahili inakua..inaishi hivyo misamiati kuongezeka ni sawa tu..mfano neno kasheshe lilipoanza lilionekana la ajabu....salamu ya.Mambo.
..iliaminika ya wahuni.ghafla Mkuu.wa.nchi.enzi hizo akaanza.kulitumia..
Papuchi oyeeeeeeeeeee...........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.