:evil: Ni hivi unatakiwa kujua kwanza ndani ya hiyo 9700,ulichangiwa sh.4850 toka kwa dada na kaka yako.Kwa hiyo kati ya hiyo sh.300 iliyobaki kila mtu anakudai sh.150 na wewe ukaamua kuwalipa kila mtu sh.100.Then kila mmoja atabaki anakudai sh.50,jumla inakua 100 ambayo ndio uliyo baki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.