Fedha Taslimu kwa kiwango kilichoahidiwa kitatolewa kwa yeyote atayatoa taarifa zitakazopelekea Mtuhumiwa kukamatwa na kufikishwa katika vyombo vya Dola.
Kampuni ambayo imeasajili kama Limited Liability ina maana, kuwa kampuni hiyo ni Legal entity.
It can be sued and it can sue as well. The shareholders' liability is only to the amount of shares they have subscribed.
Kwa maneno mangine, Kama kampuni ina madeni, basi hayo ni madeni ya kampuni na...
Chukulia matharan kesho Mtukufu anakanusha alichosema waziri kuwa ni Utani. na kwa mfano, Mtukufu akasema msema kweli ni mpenzi wangu, wala sikufanya utani wala mzaha .... fyatueni. sijui waziri atasema nini. Fundisho: kwa vile aliye sema yupo, ilikuwa sahihi yeye mwenyewe aseme .... wajameni...
Issue hapa sio kujitegemea au kutokujigemea. Issue hapa Je, uchaguzi wa marudio Zanzibar ni wa halali.
Kama haukuwa wa halali, hautaweza kuhalalishwe na Donald Trump. Kama haki hajatamalaki ndani ya nchi, hata hizo kodi unazosema serikali ikusanye, bado haki hakuna, hivyo misuguano haitaishia...
Since then I have locked these two persons in one cell; Mzee Mwanakijiji and Humphrey Polepole.
Since then, I have thrown the keys until on 28th October 2015 whereby, i will release them from the cell.
I hope, during that time, they both, will come into their senses!!!!
MImi ni mwislam, nitampigia Kura Edward Lowasa, mbunge na diwani a Ukawa. Hakuna sheikh ubwabwa atayeniambia nimevunja nguzo au sheria yeyote ya dini ya kiislam. Kajipange upya nyinyi na wale waliyo watuma full stop
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.