Chadema hawalazimishwi kuchangiwa kama mleta uzi ulivyopotosha .cdm inachangiwa na wanachadema na wananchi wenye kupenda mabadiliko tofauti na tozo ya laini za simu ambapo ni lazima kwa kila mtanzania .tofautisha mchango wa hiari na tozo ya kushurutishwa kwa faida ya mafisadi na si walala hoi
Walimu kupuuzwa na kulazimishwa kufundisha kwa amri ya mahakama wakati wana madai ya msingi ni matokeo mabaya ya std 7,fm2 na fm 4 ni viashiria tosha kwa magamba kwamba wao ndio wanaoifanya nchi isitawalike
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.