NENDA PALE UTUMISHI KAMA UKO DAR.W ATA KUANGAIKIA WANAKUWEKEA WENYEWE HIYO NIN YAKO KUNA WATU WA IT PALE UNACHOFANYA WEWE UNAENDA NA NAMBA YAKO YA NIDA TU BUUUUUREEEE
sikia ndg yangu sijajua uko wapi?kama uko dar nenda pale kivukoni ukifika ulizia ofisi za utumishi wata kuelekeza ziko wapi?ila kwa jibu la haraka haraka ukitaka kuweka ( NIN) yako kwenye ukurasa wako ktk utumishi inabidi upate line yenye mtandao wenye nguvu utaona fasta na utajikuta unacheka...
kila mtu yuko sahihi kutokana na mazingira na changamoto anazozipitia katika maisha yake hatujui wew mtoa mada umepitia nini katika maisha yako mpaka umefikia kuamua mahamuzi ya kujiajiri mwenyewe hupo sahihiii sana na wala usione walio ajiriwa wana matatizo ya kutokuwaza vizuri katika maisha...
kuna jamaa kipindi natafuta kazi aliniambia dogo unatafuta kazi ila ukipata kazi usimsikilize mtu kuna kamsemo aliniambia kazi mbaya ni ya kwako ila kwa sasa ndio nina muhelewa baaada ya kukutana na changamoto mbalimbali ndo we mwenzangu tulia hapohapo hulipo kaka na mi na kwambia kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.