Namuona kakobe kama shujaa Mkubwa aliyeanzisha kazi yake/ ministery na ikawa na uwezo kwa kusimama Tanzania nzima na nje ya Tanzania,nitamsifia kakobe sana kuliko Catholic sbb ni system iliyowekwa na watu ambao hatujawaona kwa macho, kama makanisa yangekuwa viwanda,basi kakobe ni mjasiliamali...
Hivi ni kweli mshahara wake hauwezi shuka,nimesikia kuwa kuna level ukifika serikalini mshahara uwa haushuki hata kama umeshushwa cheo,jibu la uhakika please wadau
Mkurungezi kwa hapa Tanzania anaitwa Atukuzwe Nkya,ongea naye kwa simu yake moja kwa moja kwa wale mlioko dar,atakuwa hapo kuanzia kesho kwani kwa sasa yuko njiani kuja kwenu dar,0767598080, 0717598080
Kwenye namba yake ya simu futa jina ulilosave na andika jina jipya nalo ni SHETANI WA KIKE,ili kila akipiga umkee vizuri shindwa pepo la uzinzi,na siku ukifanya hicho kitendo jua ndio mwanzo na mwisho waka kimaisha,u will never make any progress in your life,because she is the wife of anointed...
Kumbe ni walowezi wa magharibi wenye asili ya uarabuni,hiyo ni njia mpya wanayotumia waarabu ili kuaminisha watu kuwa hao vijana ni raia wa ulaya au marekani,mtu kamwe haachi asili yake hata kama atavuka mipaka.
Sio kila msalaba ni Yesu,msalaba ulikuwepo kabla ya Yesu duniani,ulitumiwa na warumi kuwatesa watu waliopinga utawala wao,roman empire,na ndio waabudu shetani wengi wanatumia broken msalaba,ishara ya ukristo duniani ni fish.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.