Binafsi kwanza hii ya 95% naikataa. Lakini kubwa kabisa kufanya mapenzi na mwanamke mnene ni usumbufu. Unakuwa kama unamgeuza tembo. Yaani kuufikia mzigo wenyewe tu ni sheeda. Wakati mwingine mnalazimika kutumia style moja ili kupata radha.
Process za upimaji zinafanyika baada ya kuridhia na kukua unahitaji heka ngapi kwani shamba ni kubwa. Na ukipenda baada ya makubaliano na kuleta watu wa ardhi ndio unaweza kumalizia malipo. Sehemu ni nzuri sana. Kwa maelezo zaidi Nipigie simu
Ili kuepukana na kimbunga cha bomoa bomoa za kila siku, nunua shamba sehemu ya uhakika na Salama.
Nina shamba linauzwa kuanzia heka 1 hadi 15 eneo la Kidomole umbali wa kilometa 14 tu toka Bagamoyo mjini Barbara mpya ya Bagamoyo - msata.
Eneo hilo ni zuri sana kwa makazi na shughuli nyingine za...
Mbona ni sasa hivi tu tumeona makamanda wa usalama barabarani wakijinadi kuwa hawako tayari kuona sheria za barabarani zinavunjwa kwa nashabiki wa vyama kupakizana kwenye maroli, sasa inakuwaje leo mbona hata siku haijapita na kosa hilo linatendwa na chama tawala?
Je, vyama pinzani wakifanya...
Ukweli ni kuwa, kitendo cha mbunge wa Singida kuamua kuachia ngazi na kujitoa kwenye ulingo wa siasa, kunatokana na ukweli kuwa rais ajaye anaweza asiwe na simile ya mafisadi kutumia siasa kama mwamvuli wa kuendesha biashara haramu.
Na hili si la CCM wala UPINZANI. Ni ukweli kuwa rais ajaye...
Hakuna lolote hapo, hao wametolewa kafara ili wawe mtaji wa kujinadi wakati wa kampeni kuwa wana uthubutu wa kushughulikia rushwa na baada ya uchaguzi kuisha wasamehewe.
Kulikuwa na sababu gani kesi hii kuchua miaka minane! Kwa kipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.