Natamani nigawe viroba na bangi, kwa waendesha bodaboda, waokota makopo, wasukuma mikokoteni na vijana wengine wote ambao hawana shughuli za kufanya kwa sababu ya ukosefu wa ajira.
Wanajamvi ni mtazamo wangu tu, mimi naona ni bora vijana wavuta bangi na viroba kama vinawapa ujasili wa kupambana na mkoloni mweusi ccm, nawasihi kama unakunywa viloba na unavuta bangi na vinakupa ujasili kutetea haki yako dhidi ya utawala mmbovu wa ccm zidisha mara tatu zaid tuendeleza mapambano.
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mtaa wa Kimara Matangini kimeandaa mkutano mkubwa, utakao fanyika katika viwanja vya Kimara mwisho stand siku ya tarehe 1/05/2015.
Mgeni rasmi katika mkutano huo atakua prof J.
Upatapo tarifa hi mjulishe na mwenzio karibu sana.
Huu mziki wa CHADEMA sasa ni hatari, CCM ni mkoa gani mnaweza kuponea nyie maana sumu ya ukombozi ndio inasambaa hivyo.
Wanajamvi, mh. Tundu Lissu kapiga kambi Mafia.
Tarifa hizi zilitolewa na Mabere Marando alipokuwa akihutubia mkutano wa wananchi Kibaha.
Vijana na makamanda wa CHADEMA, wapo ktk uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, wakimsubiri Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr. Slaa akitoka ziarani nchini Marekani.
Makamanda, Dr na rais wa mioyo ya watanzania ndo anawasili muda huu, vijana wanasubili utaratibu wa msafara wa Dr.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.