Habari!
kama unapikipiki fekon, san lg or Tbetter na unaiuza fanya mawasiliano nami kupitia no 0754086882.
Ubora ni sifa mhimu na bima pia mhimu!
Bajeti ni 800k+
Napenda nichukue nafasi hii kumpongeza ocd wa mbarali kwa kufanikiwa kutuliza vurugu zilizotokea tarehe 29.10.2013 ktk kijiji cha ubaruku baina ya wananchi na mwekezaji wa kampuni ya mbarali highland estates. Nampongeza sababu vurugu zilikuwa kubwa na uharibifu wa mali pia ulikuwa mkubwa, na...
Wakuu habari!
Leo unafanyika mkutano wa hadhara wa CHADEMA utakaohutubiwa na dk. Slaa kata ya Ubaruku Mbarali. Na sasa makamanda kutoka maeneo mbalimbali ya wilaya ya Mbarali ndo wanawasili.
Nitatoa dondoo mkutano utakavyokuwa unaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.