Nikweli Tabata Kimanga ni tatizo ni shida hata uvumilivu tumevumilia sana.Kwakifupi ni kwamba Kimanga kuanzia ngazi ya chini inaongozwa na Ukawa sasa anaangalia maeneo ambayo alipata kura nyingi za ccm ndio anaenda ikumbukwe bila kugawana kura kati ya cdm na Cuf sasa hivi Mbunge angekua Mtatiro...
Oa wakwako ukacheze nae au muache wakwako acheze nao mabachela hio ni sherehe ya harusi na unaenda na wako kama vipi tafuta alie singo ukacheze nae uje harusini eti unaomba ucheze na wangu hio ni HAPANA
Ni nafuu ya kiume lakini kwenda kuoshwa mapaja??????Kama nae anenda salun kuoshwa nywele na wanaume haina shida mkuu lkn mapaja ???mapaja??ansuguliwa mapaja ??aaaah hio sio wala sio wivu
kwani akipata nafasi na ana weza kuitumikia kuna ubaya gani?Kwani wewe chama hakijui ulikipigania na kwann umebwagwa kapewa yeye?Kumbuka kukaa jirani na makaburi sio kufa upesi haaahaaaahaaaaa
Mapenzi ya mwanaume yapo nje yaani akiona mapaja sura kwa kutaja machache,ila kwa mwanamke mapenzi yake yapo ndani ya moyo hivyo lazima asikie adigest akijitoa kwako anajitoa kweli tofauti na wanaume akishapewa tamaa yake inahamia kwa mwingine...
Nenda ofc ya utumishi dar pale karibu na wizara ya ardhi utapewa kama upo mkoani nenda ofc yoyote ya serikali ulizia afsa utumishi ukimpata mwambie shida yako....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.