kweli kabisa mkuu,wakikuyu ndio walioleta ukabila hata ukiangalia kama sio Kenyatta kufia madarakani wakikuyu wangetawala kwa miaka mingi,Raila anaogopwa kutokana sera zake za kupambana na unyakuzi wa aridhi(land grabes) kwa mfano familia ya Kenyatta inamiliki aridhi ambayo ukiiweka kwa pamoja...
Ni furaha kwangu kujiunga na jamii forum naomba ushirikiano wenu,naheshimu mawazo yenu kwa kua wengi wenu mnaitakia nchi yetu mema wakati huu mgumu kiuchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.