Search results

  1. M

    Kwanini Tanzania isiingizwe kwenye kitabu cha maajabu ya dunia?

    Ni nchi pekee dunianiiliyozungukwa na maziwa, yenye mito mingi na bahari, yenye ardhi nzuri yenyerutuba na rasilimali kibao, lakini bado ni masikini wa kutupa. Linganisha na nchikama Vietnam ambayo ilipigana vita virefu na wakoloni Wafaransa, wavamiziwamarekenai lakini hivi sasa makampuni ya...
  2. M

    Huyu ndiye Prof. Sospeter Muhongo usiyemjua

    Huyu kuwadi na hana maana.
  3. M

    James Rugemalira ana biashara lukuki, akimpa mtu hela si lazima iwe ya ESCROW

    Sawa lakini kwa nini umsemee. mwache mwenyewe ajitetee.
  4. M

    IPTL kushusha bei ya umeme kutoka sh 450 hadi sh 80 kwa Uniti

    Mada hii haina ukweli wowote na inaelekea ni propaganda zenye lengo la kupotosha watumiaji umeme na pengine kutoa matumaini hewa ili wanajamvi wasiliendelee kufuatilia mjadala mpana wa yaliyotokea kwenye kashfa ya hivi karibuni ya IPTL. Awali ya yote ni vyema ikaeleweka kuwa ili mitambo ya...
  5. M

    Mtwara: Kifaru cha JWTZ chaiparamia nyumba na kusababisha vifo!

    Hicho siyo kifaru ni gari la kijeshi aina ya APC.
  6. M

    UFISADI: Harbinder Singh Sethi wa 200b za BOT atiwa mbaroni na vyombo vya Dola

    Kama unadhani malipo yalifuata taratibu zote subiri uone.
  7. M

    IPTL liquidators move to sue Harbinder Sethi

    Ni aibu iliyoje kwa nchi hii kuruhusu ufusadi wa nmna hii kutokea. Machoni mwa wawekezaji na jumuiya ya kimataifa Tanzania itaonekana kioja ikiwa hata Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Benki Kuu Maofisa wa kuu wa wizara ya Nishati na Madini, TANESCO, TRA na BRELA hawakuweza kufanya due...
  8. M

    Tanzania yapoteza Sh trilioni moja kila mwaka

    Hii ni aibu ya mwaka. Kama wahusika wanajua tatizo la upotevu na udanganyifu wa biashara ya dhahabu halafu wao ndiyo wanakuwa wa kwanza kulalamika, sijui maana yake nini. Huenda wameshindwa kazi au hawaelewi wajibu wao au wanaogopa kuchukua hatua na kwa maana hiyo uongozi umeshindwa. Mungu ionee...
  9. M

    Video nyingine ya uwindaji haramu Tanzania

    Tusipoangalia, baada ya muda si mrefu watawaruhusu hata kuwinda hata binadamu. Tusibiri?
  10. M

    Kenya yaomba msaada wa chakula tani 200,000 za mahindi kutoka Tanzania

    Hivi hoja hapa ni Kenya kuomba msaada wa chakula au Kenya kuomba kununua chakula kutoka Tanzania?
  11. M

    MSEKWA: Hatuhitaji KATIBA MPYA

    Hoja ya Mzee Msekwa inautata mkubwa na inaashiria changamoto kubwa ya kupata Katiba inayofaa kwa nchi yetu. Umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya unaeleweka na kila mtu na ndiyo maana watu walijitokeza kwa wingi kushiriki kutoa maoni nakadhalika. Yaelekea kwa kuwa rasimu iliyotolewa haiwapendezi wengi...
  12. M

    Watanzania 65 wauza 'unga' kunyongwa China

    Tanzania haijakabidhi gesi asili kwa China. Gesi hiyo bado inamilikiwa na nchi na uendelezaji wake hufanywa chini ya mikataba wa kugawa na mapato. Kuhusu watanzania wanaosubiri kunyongwa huko China, ieleweke kuwa wao wenyewe ndiyo walichagua kujiingiza kwenye biashara hiyo na kwa maana hiyo...
  13. M

    Ugomvi wa Mengi na Prof. Muhongo nani msuluhishi?

    werevu walisema "usibishane na mjinga kwa kuwa na wewe utaonekana mjinga"
  14. M

    Usiyoyajua zaidi kuhusu Singasinga (IPTL/PAP) na mkakati wake mpya

    Biashara za kimataifa tunazijua vizuri sana na ndiyo maana tunasisitiza kuwa kilichotokea kati ya PAP na watendaji wa serikali ni wizi. Kama huamini subiri Benki ya Standard Charters ya Hong Kong itakapoleta madai yake ndiyo utaona na ubaini wizi ulifanyika na aibu itakayotufika watanzania...
  15. M

    Serikali yatangaza kupunguza bei ya Umeme, kutoka senti 40 mpaka senti 8 kwa unit!

    Hoja iliyotolewa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini kuwa gharama zaumeme zitashuka toka Senti za kimarekani 35 hadi 40 kwa uniti moja hadi sentiza kimarekani 8 baada ya kumalizika ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara hadiDar es Salaam, zinatia mashaka makubwa kwa sababu zifuatazo: i...
  16. M

    Zaidi ya 280Kg za heroin zakamatwa na meli za kivita za Canada mwambao wa Tanzania

    Kwa kweli hii inatia aibu. Hizi pupa za kutafuta fedha zitaifikisha hii nchi pabaya.
  17. M

    Lazaro Nyalandu: USA inataka niwe rais wa Tanzania 2015

    Mwacheni aote maana atakapoamka, atashangaa hata uenyekiti wa serikali za mtaa hatapata.
  18. M

    Chama cha Kilaghai Tanzania...

    Hakuna chama ambacho hakina doa, kwa kuwa binadamu siyo malaika na wala hawatakuwa. Mtoa hoja anataka kutuaminisha kuwa chama tawala ndiyo kiko vizuri zaidi. Lakini anasahau nacho kina matatizo na changamoto nyingi tu. hapa naona ni propaganda tu wala hakuna hoja yenye mashiko.
  19. M

    John Mnyika: Taarifa kuhusu Uongo wa waziri Muhongo

    Prof. Muhongo ni mababaishaji na mzigo mkubwa kwa Watanzania. Tangu aingie Wizara ya Nishati na Madini imekuwa ni janga la kitaifa. Ukiangalia sekta zote mbili(Nishati na Madini) uwekezaji umekwama, hali ya umeme ni tete, uwekezaji katika utafutaji wa mafuta na gesi nao umekwama (ni wale tuu wa...
  20. M

    Zitto ajilipua: Asema wapinzani wakishika dola raia hawatapona

    naNhuyo atakayechangua mtu feki kama huyo ni nani hasa.
Back
Top Bottom