Mashirika ya pensheni hayana hizo pesa.
Kadri wanavyokucheleweshea kukulipa ndio wanasave pesa za baadae, kwani unajipunguzia siku za kuishi kwa kuwa na mawazo mengi
Rai kwa wafanyakazi wa pspf na nssf. Na wao watastaafu. wawe na huruma
True., we should not mistake for 1 second Kenya will be on our side once US and EU sanctions are effected. They will be the ones who will celebrate the most from our downfall.
Kenya as a whole will thanks us for our stupidity in making their lives easier, since they will be the defacto...
Most countries with worse human rights and very bad democracy than us are either in rich and powerful countries ( China, Russia, Saudi Arabia etc) or are under heavy sanctions (Venezuela, Zimabbwe etc).
We can not have our cake and eat it. If we have decided to ignore all western standards of...
unadaiwa invome tax the second you get an income.
Pensheni yako ni income,hivyo ccm na serikali yao watakukata deni la income tax ya pensheni yako.
Hawaongelei deni la nyuma, kwani ulishakatwa wakati unafanya kazi. Hakuna mwajiriwa tanzania anayelipa paye yeye mwenyewe.
Hiki ki-msando kweli kipuuzi.
Income tax kwa kiswhaili ni kodi ya mapato. Kwa maana kuwa kama umepata kipato utadaiwa hiyo kodi.
Pensheni ni kipato. Kama hujasamehewa invome tax kwenye kodi, maana yake TRA watakokotoa invome tax yao uwalipe.
Ukilipwa mshahara hii ndio PAYE. Ukilipwa pension...
Hajui kiswahili pia hata mantiki imempiga chenga.
Kimantiki kuweka kilainishi kwenye kitu kigumu inatafsirika kama kutoa rushwa.
Kimantiki ni sawa ametangazia taifa kuwa kama mambo magumu, toeni na pokeeni rushwa.
Wakopesheni kwa riba za kibinadamu muone kama watashindwa kulipa.
taasisi za fedha nyingi riba asilimia 5-10 kwa mwezi, kwa mwaka ni hadi asilimia 100. Watalipaje? Bishara ngapi zina faida ya asilimia 100 kwa mwaka?
Benki chache ndio zinakopesha asilimia 20-30 kwa mwaka. Hii bado kubwa sana...
Umesahau huyu bwana amefukuza watu kazi kwa tuhuma? Umesahau kuna maafisa waandamizi wanasota jela kwa tuhuma? Wafanyabiashara wamesotweshwa jela kwa tuhuma?
Why the double standard?
Acha kupotosha. Raisi hana leeway ya kuchagua wahalifu. However anaweza kuwalinda.
Huyu bashite mhalifu(mfojiji) atalindwa hadi atakapokuja raisi atakayeamua kutokumlinda.
Then justice will be served.
Haijalishi ana elimu ya darasa la kwanza au ana PhD 20. The moment anafanya fraud amecommit...
Pasco kachanganyikiwa.
Huwezi sema mhalifu aliyethibitika kufoji na kudanganya kuhusu elimu yake kuendelea kulindwa kwa excuse ya kuwa vigezo sio lazima.,
Well jinai haifutiki.
Jambo jema kuhusu jinai ni kuwa akishaondoka magufuli, kesi ya bashite kufoji elimu na ku-commit fraud itakuwa bado...
Haitafika kule
Pale kunajengwa kidaraja tu, na mataaa yatakuwepo, kule jengo la tanesco zinafika service roads tu. Tembelea nchi za watu utaona flyovers zilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.