Una bahati Tanzania haina uraia pacha kwahiyo wewe unaukana tu uraia wa Tanzania unachukua uraia wa nchi yoyote unakua raia na unakoma kujitambulisha kwamba wewe ni mtanzania,
Utajitambulisha tu una asili ya Tanzania na penyewe sio lazima sana, sasa kwanini ujute?
Mara Mia dini ya Mzungu, dini ya Mzungu kanisani mnafundishwa useremala, kilimo, ufugaji mnapewa elimu, afya na vikundi vya kuweka na kukopa kama sio dini ya Mzungu Tanzania ingekua gizani, angalia nchi za weusi zenye uchumi mkubwa zote ni Christians dominated countries, nchi kama Somalia...
Hata Arusha mjini wana misikiti mingi sana isio na waumini kuna mingine mashehe wanatumia kama lodge za kulawitia watoto kama huu, kigamboni pia wamejenga misikiti mingi inayofugia popo tu saivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.