Wanajamii nilikuwa kwenye mkutano wa mbunge wa CCM jimbo la Ngara uliofanyika katika kata ya Kabanga nakuhudhuriwa na wananchi wachache huku wengi wao wakiwa ni wazee!
Baada ya jitihada kubwa ya gari la matangazo lililozunguka jana jioni kujulisha ujio wake katika kata hii,ajabu nikuwa pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.